Saturday, July 3, 2010

Usiku jana tulizungumza kuhusu mambo, mambo mengine na nilifikira kwamba pengine, pengine mambo ni sawa. Lakini maisha haitabirika, ni kweli, na ilinitoa rundo ya tamaa. Ninajua, ninajua daima hatumaini sana. Ninahitaji kufanya furaha yangu, na ninajua ninaweza. Ninafanya matatizo mengi yangu, hata ingawa nilijaribu kufanya furaha tu. Leo, ninajisikia bila tumaina na "kukata tamaa"?

No comments:

Post a Comment