Wednesday, December 9, 2009

DECEMBA 8

Nimechoka sana lakini kesho (leo kweli) ni siku ya thelugi! Ninafurahi sana kwamba sitakuwa na darasa kesho lakini, ninafurahi kwa sababu ninapenda thelugi sana. Mwangaza wakati wa msiumu wa baridi ni kamilifu, vivuli vizuri vya vijuvi na manjano mdogo. Wakati wa uskiku ikikuwa ng'avu bado. Ninasikia salama. Na thelugi ni yenye uangaze sana. Ni nzuri sana, kweli. Sitakuwa mimi zaidi kwamba wakati wa thelugi. (Sifikiri nilisema sahihi, lakini nilijaribu!).

No comments:

Post a Comment